kwa wale waliochaguliwa stella marian mtwala 2kutane hapa!!

cantonna

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
1,120
Reaction score
439
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!
 
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!

kuzuri! khcu umeme ndo ucseme hamuna shidaa! Me nimesoma ndanda boys pale
 
Ni Stella Maris Mtwara na sio stella marian formely known as SAUT mtwara.
 
Itz grown town, STEMMUCO ni chuo kipo around town, ocean shore, maisha club, makonde loyal club, burudani na starehe ni nyingi mno. Mirupo ni yakumwaga toka chuo cha TPSC af easy to carry 4cheap..bei za standard room ni kuanzia elf30 mpk elf45, misosi ndio bei kidogo.

I was graduated dea on dec.2012
 
Thexs for good information!!
 
Your welcom cantöna, sijasoma mtwara ila nimeishi kule for almost 6 months so napajua vizuri . . . . Kama upo fb nicheki joseph alex kalande tutajuzana zaidi kuhusu mtwara, pia this time nimechaguliwa stella maris mtwara university so we'll be together!
 
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!

Yani wewe lazima Udisco ukifika huko........
Halafu Stella Marian ndo kitu gani......Umechaguliwa chuo hata jina lake hulifahamu, hakika una kazi ya kufanya.....
 

CORRECTION...its a growing town/it is a developing town... na sio i was graduated dea ni i graduated there.... (nothing personal it is just a correction)
 
Of course mtwars ni mji mzuri sana. Kibaya zaidi nakuhasa ukajiepushe na starehe kwani ni kati ya maeneo yenye starehe nyingi mno.

Na kwa upande wasichana kuwa makini sana na mabinti kutoka chuo chs jirani utumishi wa umma.

On the other side ni chuo kizuri kinachoongozwa na principal muelewa Rev. Dr Longinus Rutagwelera na msaidizi wake principal for academic affairs Prof Eginald Mihanjo.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376802985584.jpg
    75.6 KB · Views: 120
yeyote msichana aliyeko mwanza na kachaguliwa stella maris anitext 0685733122 ampe company dada yangu nae pia kachaguliwa ili wasafiri pamoja'
 
yeyote msichana aliyeko mwanza na kachaguliwa stella maris anitext 0685733122 ampe company dada yangu nae pia kachaguliwa ili wasafiri pamoja'

yupo mdogo wangu ni mwaname yupo mwanza kapata hapo vipi nimsitue?
 
CORRECTION...its a growing town/it is a developing town... na sio i was graduated dea ni i graduated there.... (nothing personal it is just a correction)

Sawa mwngereza bt still namaanisha nilichoandika, usiwe mwanakijiji.
(dea-there: hujaelewa nin?) pia (Its grown town na sio growing sababu mm binafsi nalinganisha 2009 nipoanza chuo kule mpaka sasa, pamekua tyar)

USIJIFANYE UNAJUA WAKATI HUJULIKANI. SHIT!
 
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!

hongera mkuu mimi npo mtwara mwaka wa tatu huu karbu xana hautojutia kuishi katika huu mkoa watu wake ni wakarimu xana na ni mkoa ambao unakua kwa kasi xana kiuchumu chuo kpo mjin kabsa pembezeni mwa bahar ila angalizo fata kilicho kuleta huku kuna starehe xana imagine chuo kpo beach,ictoshe kpo karbu xana na maisha club,makonde royal na kuna mabinti weng xana ambao weng wao ni wanafnz wa utumish wa uuma kua na makini hawa mabinti ni warembo xana.....kuhus shda za umeme ukifka huku sahau kabsa.,miundo mbnu inazd kuboreshwa,chakula bei poa.
 
IVYO VYUO KWA WALIOFELI COZ 2LIOFAULU 2PO UDSM DUCE MUCE MZUMBE SUA UDOM_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia HUKU MITAAN M2 HAKSOMA CHUO CHA GVNT NDIO KAFAULU VZUR
 
ndanda ndio nini?

haya bana mpigamsuli ckuweziii mzee wa average 50% special school uliyeangukia lichuo la ushiriikaaaa (libayaaaa) ambapo umeulizwaa taja hata Phd holders watano ambao ni permanent hapo chuon kwenuu hukujibu! NB napenda chalenge zakoo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…