kwa wale waliochaguliwa stella marian mtwala 2kutane hapa!!

haya bana mpigamsuli ckuweziii mzee wa average 50% special school uliyeangukia lichuo la ushiriikaaaa (libayaaaa) ambapo umeulizwaa taja hata Phd holders watano ambao ni permanent hapo chuon kwenuu hukujibu! NB napenda chalenge zakoo

MUCCoBS PABAYA??? ULITAKA KIJENGWE NA DHAHABU?? MWAMBIE BABAYAKO AJENGE CHUO KIZURI KAMA MUCCoBS PABAYA, IFM CHUO CHA KIDADA AVERAGE(40%), KOZI NYINGI NI ZA KIDADA
 
Last edited by a moderator:
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!

IVYO VYUO KWA WALIOFELI COZ 2LIOFAULU 2PO UDSM DUCE MUCE MZUMBE SUA UDOM_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia HUKU MITAAN M2 HAKSOMA CHUO CHA GVNT NDIO KAFAULU VZUR

ardhi co kzur eehee...?
 
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata (mirupo) kwa wale watumiaji...!!
kwenye mabano milupo ??? ya nini sasa yaani mijitu mingine bana badala ya kuuliza kuna madokta na maprofesa, library yenye vitabu vya kutosha unaulizia milupo
 
ivyo vyuo kwa waliofeli coz 2liofaulu 2po udsm duce muce mzumbe sua udom_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia huku mitaan m2 haksoma chuo cha gvnt ndio kafaulu vzur

mbuzi kasoro mkia!! Wewe ulifaulu?? Hivyo vyuo vinachukua mpaka three na hamna chuo ambacho hakichukui division three tanzania hii
 
IVYO VYUO KWA WALIOFELI COZ 2LIOFAULU 2PO UDSM DUCE MUCE MZUMBE SUA UDOM_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia HUKU MITAAN M2 HAKSOMA CHUO CHA GVNT NDIO KAFAULU VZUR
acha dharau wewe mambo sio hivyo unavyodhani wewe ndo kwanza umepata hako kanafasi maliza kwanza kadigiri kako uje mtaani ndo uje uandike huu utumbo hapa
 
CORRECTION...its a growing town/it is a developing town... na sio i was graduated dea ni i graduated there.... (nothing personal it is just a correction)

Thank you for pimp his/her english. English ni janga la taifa haswa kwa wale wa st kayumba.
 
IVYO VYUO KWA WALIOFELI COZ 2LIOFAULU 2PO UDSM DUCE MUCE MZUMBE SUA UDOM_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia HUKU MITAAN M2 HAKSOMA CHUO CHA GVNT NDIO KAFAULU VZUR

unajifariji na MUCE yako ungekuwa umefaulu c ungekuja UDSM main campus! Jitu lenyewe unaenda kusoma education...!! Quote; Kimbilio la waliofel ni ualimu na upolisi.. haahaahaa co mm huyo ni Roma mkatoliki nadhan unamjuaaa! By the way karibu ARDHI UNIVERSITY.......a.k.a uclas!!! Najua ulipataman sana UDSM(main campus), SUA, ARDH, MUHIMBILI, UDOM, sema ufaulu wako na comb uliyosomaa A'level ndo kikwazooo kwakooo!!! Jaman wana jf mtanisamehee nataka nimuadabishee huyu dogo oil sumu cna lengo la kudharau vyuo vingnee kwa kuwa cjaviorodhesha hapo kwenye reference yangu ya vyuo hapo juu!! Pamoja mpigamsuli (MUCCoBS) Mbrazili (ifm)
 
Last edited by a moderator:
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!


ardhi tushakarbia mkuu.....pamoja xana.
 
Last edited by a moderator:
CORRECTION...its a growing town/it is a developing town... na sio i was graduated dea ni i graduated there.... (nothing personal it is just a correction)

Pole mkuu kwa kutumia muda wako kumsahihisha! Ndo vingereja vya wasomi wetu! Kazi ipo na Mulugo!
 
ivyo vyuo kwa waliofeli coz 2liofaulu 2po udsm duce muce mzumbe sua udom_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia huku mitaan m2 haksoma chuo cha gvnt ndio kafaulu vzur

hongera yako kijana...!!
 
IVYO VYUO KWA WALIOFELI COZ 2LIOFAULU 2PO UDSM DUCE MUCE MZUMBE SUA UDOM_ila nimekiweka udom kwakuwa cha gavnt lakn waliofel wapo pia HUKU MITAAN M2 HAKSOMA CHUO CHA GVNT NDIO KAFAULU VZUR

Waliofaulu wapo jkt.
 
icho nimekisahau ila nacho kipo kwny vyuo vzur

Kuna watu wana 2 wamepelekwa kwenye hicho chuo unachokidis na hiyo 3 yako halafu wote mtakuwa walimu mtalipwa mshahara mmoja, Angalia maneno yako dogo tatizo umri.
 
Kuna watu wana 2 wamepelekwa kwenye hicho chuo unachokidis na hiyo 3 yako halafu wote mtakuwa walimu mtalipwa mshahara mmoja, Angalia maneno yako dogo tatizo umri.

mm nataka nisome na wa2 2liofaulu mwsho 3 ya 13
 
kwenye mabano milupo ??? ya nini sasa yaani mijitu mingine bana badala ya kuuliza kuna madokta na maprofesa, library yenye vitabu vya kutosha unaulizia milupo

nayo inaumuhim wak bhana siyo kila wakati ni kuxoma tu
 
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!


nayo inaumuhim wak bhana siyo kila wakati ni kuxoma tu

sawa cantonna nmeipenda hyo na huku mtwara umefkaa wapo wengi tu ila waleti tu ndo fimbo yao...
 
Last edited by a moderator:
mm nataka nisome na wa2 2liofaulu mwsho 3 ya 13

Muce wanachukua cut off points 4.5 kiasi kwamba hata mwenye D mbili na gs s anaenda unajua hiyo ni div ngapi? utoto unakusumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…