ushauri wakuu, nasoma udsm , master nimelipa ada 3/4 bado 1/4 nimezuliwa kufanya final exam na kulazimishwa kuandika barua ya kuomba special september, na cna matarajio ya kupata iyo robo till sept, jee ntaweza ruhusiwa kufanya nilipe nkichukua vyeti o ndo disco?