0767854945
Member
- Jul 5, 2013
- 74
- 2
Nimepata habari ya kuwa matokeo ya wizara ni wiki lijalo aliyethibitisha ni mmoja wa wafanyakazi wa ofisi za kanda za nyanda za juu magharibi hivyo nawaomba wenzangu tulioomba tuvute subira ni kipindi cha maombi sana
Hizo habari nina mashaka nazo kuripoti chuo oktoba 14 fikilia hapo mmh! sijui
maombi ya nini wizara ya afya?
maombi ya nini wizara ya afya?
wewe tulia tu utajuwa badae
hehehe! si ndio maana nikauliza! Sasa badala ya kutoa jibu mmeanza kukebehi!