Kwani yeye pia ni member humu?Kama heading inavyojieleza ni Ngumu sana kupata like au reply ya CEO wa Jf Ndugu Maxence melo kama Uzi wako hauna Fact
Kama wewe umeshawahi kuipata tukutane hapa .
......!
sorry nilisahau kama wewe ni Zero IQAaah mkuu Acha povu like tu inatosha ndio maana wahenga walisema salamu ni Nusu ya kuonana
Ngoja nimwite akupe like, ukitoa Pointi Maxence Melo sio mchoyo wa like, watu ambao ni wachoyo wa like ni viongozi wa serikali kama Mwigulu Nchemba teteteteteteteKama heading inavyojieleza ni Ngumu sana kupata like au reply ya CEO wa Jf Ndugu Maxence melo kama Uzi wako hauna Fact
Kama wewe umeshawahi kuipata tukutane hapa .
......!
AaahNgoja nimwite akupe like, ukitoa Pointi Maxence Melo sio mchoyo wa like, watu ambao ni wachoyo wa like ni viongozi wa serikali kama Mwigulu Nchemba tetetetetetete