Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Ngoja nimwite akupe like, ukitoa Pointi Maxence Melo sio mchoyo wa like, watu ambao ni wachoyo wa like ni viongozi wa serikali kama Mwigulu Nchemba tetetetetetete
HahahahaaKama like tu na quote unaanzisha uzi uki-shake nao hand vip si utatembea uchi
Yani hiyo kwako ni bahati!! Kazi ipo.Mimi ni miongoni mwa member waliopata bahati hiyo ya kupewa LIKE na Melo