Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
Je baada ya matibabu ulirudi kumshukuru daktari/nurse?
Je ulishawaza mupenzio unaemjali, unajali mwili wake na kuuthamini...mara afikapo hospitali nurse anachezea/kutikisa/kuvinjari na kukagua kiungo ukipendacho (dudu?).....dokta/nures atizamapo ikulu anakuta chafu wewe ka mwenzie kwa nini usihakikishe anakuwa msafi?
Jamani hiyo minywele ya makwapani na mmmmhhhh/down mnyoe mara kwa mara...(we msomaji huwa unanyoa baada ya siku ngapi?)
Shukuru kwa kila jambo utendewalo katika hali yeyote....mnamaliza 6x6 unatoka BARU bila hata asante hakuna unadhani choo kile kimekupokea ukaacha uchavu ukaondoka.
Big u to all who have committed their time to care for others
Je ulishawaza mupenzio unaemjali, unajali mwili wake na kuuthamini...mara afikapo hospitali nurse anachezea/kutikisa/kuvinjari na kukagua kiungo ukipendacho (dudu?).....dokta/nures atizamapo ikulu anakuta chafu wewe ka mwenzie kwa nini usihakikishe anakuwa msafi?
Jamani hiyo minywele ya makwapani na mmmmhhhh/down mnyoe mara kwa mara...(we msomaji huwa unanyoa baada ya siku ngapi?)
Shukuru kwa kila jambo utendewalo katika hali yeyote....mnamaliza 6x6 unatoka BARU bila hata asante hakuna unadhani choo kile kimekupokea ukaacha uchavu ukaondoka.
Big u to all who have committed their time to care for others