kwa wale wanaoijua mara sec...

jroby

New Member
Joined
May 26, 2013
Posts
4
Reaction score
0
naomba msaada kuhusu shule ya mara sec...je ni majanga au...ipo fiti
 
One of my friend alisoma hapo amemalza 2011 wit div 1.5,nadhani iko fresh sana kwa comb za HGE na EGM.over
 
naomba msaada kuhusu shule ya mara sec...je ni majanga au...ipo fiti

kwani unaishi wapi MKUU? Ningependa nikuonganishe na jamaa yangu naye kapangiwa huko.
 
Hata mimi nachanganyikiwa,sielewi ni Mara Sec au MUSOMA Sec kama walivyoandika kwenye selection ya Form V mwaka huu.Nina ndugu yangu kachaguliwa kwenda kusoma MUSOMA form VMchepuo wa HGE.
Sasa nimejaribu kuulizia hiyo MUSOMA ni shule ipi Marasekondari au MUSOMA TECH SEC..? Naomba msaada kwa anayejua walipoandika MUSOMAwana maanisha shule ipi? Nimeambiwa hakuna shule inayoitwa MUSOMA. Ikiwezekananipate na contact zao. Natanguliza shukrani.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…