Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 547
- 656
Neno Sex ni 'gender' ikimaanisha jinsia. Sexual act inamaana ya tendo la ndoa lenye kuhusisha jinsia mbili.
Wale wanaoenda zaidi na kufanya ile inaitwa kinyume na maumbile ni kosa kwa Mungu wao na pia miili yao wenyewe.
Imethibitika sex kinyume na maumbile husababisha particles za kwenye 'Anus' kuingia katika maumbile ya mwanaume na baadaye hupelekea blockage ya Urethra(sperm duct and urine duct).
Nadhani mmesikia matukio mengi ya surgery kurekebisha hizi passageways
Hii ya kutumia midomo(mtaani wanaita kuzama ch.u.v.in.i nadhani pia ni kwenda mbali na makusudio muhimu ya sex.
Kuna virus wanaitwa Human Papilloma Virus(HPV) wanaosababisha Cervical Cancer
80% ya wagonjwa wa Cancer Tz ni hawa wa Cervical Cancer inayoathiri Cervix(njia ya uzazi) wa mwanamke.
Jamaa anapozama kwa mwanamke aliyeambukizwa hupelekea kupata hawa Virus ambao huathiri sehemu ya koo(Throat Cancer )
Nadhani mmekutana na cases za Throat Cancer, zipo zipo sana siku hizi.
Hivyo basi 'doing sex' inamaana hasa kutumia sexual organs na sio vinginevyo.
Wale wanaoenda zaidi na kufanya ile inaitwa kinyume na maumbile ni kosa kwa Mungu wao na pia miili yao wenyewe.
Imethibitika sex kinyume na maumbile husababisha particles za kwenye 'Anus' kuingia katika maumbile ya mwanaume na baadaye hupelekea blockage ya Urethra(sperm duct and urine duct).
Nadhani mmesikia matukio mengi ya surgery kurekebisha hizi passageways
Hii ya kutumia midomo(mtaani wanaita kuzama ch.u.v.in.i nadhani pia ni kwenda mbali na makusudio muhimu ya sex.
Kuna virus wanaitwa Human Papilloma Virus(HPV) wanaosababisha Cervical Cancer
80% ya wagonjwa wa Cancer Tz ni hawa wa Cervical Cancer inayoathiri Cervix(njia ya uzazi) wa mwanamke.
Jamaa anapozama kwa mwanamke aliyeambukizwa hupelekea kupata hawa Virus ambao huathiri sehemu ya koo(Throat Cancer )
Nadhani mmekutana na cases za Throat Cancer, zipo zipo sana siku hizi.
Hivyo basi 'doing sex' inamaana hasa kutumia sexual organs na sio vinginevyo.