Kwa wale wanaopenda matikiti maji

mkubhi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
2,216
Reaction score
3,319
Tikiti zuri hili hapa kuleni!!!!!
 
haya matikiti mimi siyaelewi, kuna yale yenye rangi ya kijani tupu na haya, yepi mazuri
 
Yale ya kijani kitupu kwa uzoefu wangu ndo naona mazr....
 
hata mimi najua hivyo lakini tatizo hayo ya kijani hayapo sokoni, yamejaa haya ya 'dizaini' hii tu

Haya matikiti yote ni sawa tu, yale ya kienyeji ambayo kwa sasa hayapatikani ndio yalikuwa yanafaa ila hayo yote ni sawa tu sawa sawa ukauliza lg na samsung tv ipi bora
 
KASORO HILI LENYE ULIMI LINATISHA !
 
Haya matikiti yote ni sawa tu, yale ya kienyeji ambayo kwa sasa hayapatikani ndio yalikuwa yanafaa ila hayo yote ni sawa tu sawa sawa ukauliza lg na samsung tv ipi bora
wanasema matikiti haya ni sawa na kuku wa kizungu coz mbegu zake sio asili wamefanyia modification kwahiyo hayana faida zilizomo kwenye yale ya asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…