Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 17
Safi sana. ndo faida za JF kwa kweli ndoa zitaimalika sana. Ila tungalie sana kwani wife anaweza kushituka kwa sababu previously hukuwa na jumbe tamutamu hivyo anaweza kudhani umeopoa kimwana sasa unashift sms zake kwa wife wako