Gratius d4m9
Member
- Mar 16, 2013
- 62
- 24
Kumekuwapo na uvumi kuwa vyuo vitaanza mwezi january au february taarifa ambazo si sahihi,nasema hivyo kwa sababu hivi karibuni chuo cha Mzumbe wametoa tangazo kwenye website yao kuwa wataanza kupokea wanafunzi kuanzia tarehe 14 Oct 2013, for more info tembelea website yao, nawasilisha.