Gratius d4m9
Member
- Mar 16, 2013
- 62
- 24
Sasa jamani! Hivi tcu na jkt, tumuamini nani? Mara tcu wanasema chuo mwez wa 9, jkt nao wanatuhitaji mwez wa 9, sasa tueleweje?
Siend jesh wala nin, acha ajira ziwe ngumu tuu
Wewe ndio haujaelewa vizuri wanaotakiwa kuripoti hiyo tarehe ni wale wa undergraduate ambao ni diploma & certificate ambao majina ya waliochaguliwa yalitolewa ivi karibuni
piga ua galagaza jkt mwezi wa 9 ni lazima
Usiongee vitu usivyokuwa na uhakika navyoWewe ndio haujaelewa vizuri wanaotakiwa kuripoti hiyo tarehe ni wale wa undergraduate ambao ni diploma & certificate ambao majina ya waliochaguliwa yalitolewa ivi karibuni
piga ua galagaza jkt mwezi wa 9 ni lazima
Wanazngua sana hawana sababu yoyote ya kutupeleka huko hiyo bajet ni bora wangeongeza kwa upande wa bodi ya mikopo ili wanafunz watakapo ingia vyuoni wapate loans zenye % za kueleweka