aman abdalah Member Joined Jun 6, 2014 Posts 53 Reaction score 4 Nov 25, 2014 #1 Je! ni faida zipi wanazozipata wanasaikografia,walimu, wanafunzi na matabibu matamshi pale wanapojifunza taaluma ya Fonetiki inayohusiana na alama za kifonetiki ?
Je! ni faida zipi wanazozipata wanasaikografia,walimu, wanafunzi na matabibu matamshi pale wanapojifunza taaluma ya Fonetiki inayohusiana na alama za kifonetiki ?
M makaghari JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 543 Reaction score 530 Nov 25, 2014 #2 Rejea umuhimu wa fonetiki kwa taaluma au lugha yoyote ile..!!