Kwa wale wanaosoma Kiswahili wa vyuo vikuu, nisaidieni hili swali

aman abdalah

Member
Joined
Jun 6, 2014
Posts
53
Reaction score
4
Je! ni faida zipi wanazozipata wanasaikografia,walimu, wanafunzi na matabibu matamshi pale wanapojifunza taaluma ya Fonetiki inayohusiana na alama za kifonetiki ?
 
Rejea umuhimu wa fonetiki kwa taaluma au lugha yoyote ile..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…