Kwa wale wanasafiri na boti hasa kwenda Zanzibar unaweza tumia nini ili usjisikie vibaya katika ya bahari?

Kwa wale wanasafiri na boti hasa kwenda Zanzibar unaweza tumia nini ili usjisikie vibaya katika ya bahari?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Habari za hapa,
Kwa sisi ambao hatuja zoea sana bahari tukisafiri na boti tunakuwa kwenye hali ngumu sana mara kutapika , kichefuchefu n.k .
Wajuvi wanipe maarifa naweza fanya nini au kutumia nini kuondoa au kupunguza hali hiyo.

Alafu niligundua hasa wakati wa kurudi bara ndio balaa linakuwa baya sana [emoji1]
 
Duuh binafsi sijawahi kutwa na hali hiyo na sijajua mpaka leo hali hiyo huwa inasababishwa na nini lakini kuna mkuu mmoja aliwahi niambia kama hali hiyo inakukuta ukikalia gazeti katika siti yako kidogo inaleta relief
 
Habari za hapa,
Kwa sisi ambao hatuja zoea sana bahari tukisafiri na boti tunakuwa kwenye hali ngumu sana mara kutapika , kichefuchefu n.k .
Wajuvi wanipe maarifa naweza fanya nini au kutumia nini kuondoa au kupunguza hali hiyo.

Alafu niligundua hasa wakati wa kurudi bara ndio balaa linakuwa baya sana [emoji1]
Ukiwa mgeni wa bahari na ukitaka kusafiri fanya hivi

Kama unasafiri asubuhi jitahidi usiku usile sana

Kunywa chai ya tangawizi itakusaidia kwenye kichefuchefu before Safari kuanza

Atleast 6 hours before travelling usile kitu kabisaaa jitahidi ukienda kusafiri na boti tumbo liwe empty

Ukiingia ndani ya boti usikae ndani nenda ukakae sehemu zile za wazi ambazo hazina.Zile Ac zitakutia kichefuchefu hatimae utatapika tu .yale Ma Ac yao m mpk leo zile AC zisielewi kabisaaaa

Ukifika maeneo ya msasani ple ndo panachafuka zaidi kwa
mawimbi

June to July sio miezi mizuri kusafiri kwa mgeni wa bahari mna bahari ndo inakua ina mawimbi makubwa ndani ya miezi hii
 
Ukiwa mgeni wa bahari na ukitaka kusafiri fanya hivi

Kama unasafiri asubuhi jitahidi usiku usile sana

Kunywa chai ya tangawizi itakusaidia kwenye kichefuchefu before Safari kuanza

Atleast 6 hours before travelling usile kitu kabisaaa jitahidi ukienda kusafiri na boti tumbo liwe empty

Ukiingia ndani ya boti usikae ndani nenda ukakae sehemu zile za wazi ambazo hazina.Zile Ac zitakutia kichefuchefu hatimae utatapika tu .yale Ma Ac yao m mpk leo zile AC zisielewi kabisaaaa

Ukifika maeneo ya msasani ple ndo panachafuka zaidi kwa
mawimbi

June to July sio miezi mizuri kusafiri kwa mgeni wa bahari mna bahari ndo inakua ina mawimbi makubwa ndani ya miezi hii

Asante sana .. kazi ipo hakika
 
Kutapika au kozunguzungu ni hali ya mwili ambayo haifanani toka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Sijawahi pata shida hiyo lakini nimeona watu wengi wakitapika mwingine akitaka kuanza safari analala ilimradi asitapike ila bado atatapika kabla ya kumaliza safari. Cha msingi kutokula sana mfano kuna ubuyu wa babu mmoja unasifika naona watu hununua ila wakiingia kwenye boti alooo utashududia huyu katapika wali mwekundu chipsi nyekundu yaani tafrani😂😂😂😂
 
Kutapika au kozunguzungu ni hali ya mwili ambayo haifanani toka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Sijawahi pata shida hiyo lakini nimeona watu wengi wakitapika mwingine akitaka kuanza safari analala ilimradi asitapike ila bado atatapika kabla ya kumaliza safari. Cha msingi kutokula sana mfano kuna ubuyu wa babu mmoja unasifika naona watu hununua ila wakiingia kwenye boti alooo utashududia huyu katapika wali mwekundu chipsi nyekundu yaani tafrani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1]
 
Ushauri wa kukalia gazeti ufanyie kazi, sijui kuna connection gani lakini ndio hivyo mambo mengine ni magumu kuyaelezea lakini yapo na yanafanya kazi
 
Mawimbi ya bahari zile ups and down ndio zimekuchanganya mpk ukawa ivo ila hope now upo good ukisafiri
Dah mkuu noma sana yan ile siku niliteseka sana sasa nikawa nawaza wale wanaoendesha wana hari gani ila ngoja tuone siku nikirud na boti sijui nitapata tena kizunguzungu

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Kutapika au kozunguzungu ni hali ya mwili ambayo haifanani toka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Sijawahi pata shida hiyo lakini nimeona watu wengi wakitapika mwingine akitaka kuanza safari analala ilimradi asitapike ila bado atatapika kabla ya kumaliza safari. Cha msingi kutokula sana mfano kuna ubuyu wa babu mmoja unasifika naona watu hununua ila wakiingia kwenye boti alooo utashududia huyu katapika wali mwekundu chipsi nyekundu yaani tafrani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari za hapa,
Kwa sisi ambao hatuja zoea sana bahari tukisafiri na boti tunakuwa kwenye hali ngumu sana mara kutapika , kichefuchefu n.k .
Wajuvi wanipe maarifa naweza fanya nini au kutumia nini kuondoa au kupunguza hali hiyo.

Alafu niligundua hasa wakati wa kurudi bara ndio balaa linakuwa baya sana [emoji1]
Ili usitapike unapaswa usile au usinywe chochote siku ya safari.

Utakuja kunishukuru baadae.
 
Habari za hapa,
Kwa sisi ambao hatuja zoea sana bahari tukisafiri na boti tunakuwa kwenye hali ngumu sana mara kutapika , kichefuchefu n.k .
Wajuvi wanipe maarifa naweza fanya nini au kutumia nini kuondoa au kupunguza hali hiyo.

Alafu niligundua hasa wakati wa kurudi bara ndio balaa linakuwa baya sana [emoji1]
Cha kwanza usipande boti,ukiwa umeshiba Sana, au umekula chakula kizito muda huo(kwa ambao, hawajazoea bahari), pili,sehemu nzuri ya kukaa bahari inapokuwa na dhoruba, ni kule juu kabisa, ili upigwe na upepo, usikae ndani ya cabin, bahari ikiwa na mawimbi, utasikia kizungu zungu, utadhani utumbo mpana unataka kutoka nje,
 
Back
Top Bottom