kwa wale wapenzi na mashabiki wa yanga

Zahera amekaa na timu muda mchache sana hivyo itamchukua muda sana kuweza kupata kikosi cha kwanza cha uhakika. Na itakuwa ni bahati endapo yanga watawatoa wabotswana mana wachezaji bado sana kuelewana. Ila kwa wachezaji waliosajiliwa na wale wazamani waliopo uwezekano wa kutengeneza timu tishio upo Mkubwa sana.
 
Nilishangaa kwa nini Simba waliwapotezea Sidney na Moro?kumbe waliona chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…