anafanyaga vitu ganWala simjui ila ndo celebrity wangu
Kwani tatizo lipo wapi jooh..Hata kama ni utani au masikhara usifikie huko kijana
Kuwa na adabu kidogo.
Mie hata najua bor hance anamjua na kanambia atamdadavua hapa jamn hance njoo bas unimalize kiu yangu kuhus huyo mremboanafanyaga vitu gan
maana sijawahi kumwona huyu toka nazaliwa
hahahahaMie hata najua bor hance anamjua na kanambia atamdadavua hapa jamn hance njoo bas unimalize kiu yangu kuhus huyo mrembo
Siyo Happy huyo bwana umemfananisha[emoji23][emoji23]..Hapy hayuko hivyo,halafu happy ana Tattoo kubwa mkononi ya DiamondAnaitwa happy platnumz shabiki wa domo namba moja
Yaan nampenda mnoo yan hat sijui kwa nin yaanhahahaha
wewe punguza kumpenda mtu uso mjua.
na jina haja kwambia!?
duuuh!!Yaan nampenda mnoo yan hat sijui kwa nin yaan
Naachaje sasduuuh!!
punguza kumpenda mwanake mwenzio bas [emoji28]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
jaribu kupenda wanaume zaid [emoji28]Naachaje sas
Wanaume ni hatar kwa afya yangu ujuejaribu kupenda wanaume zaid [emoji28]
maana huyo hata humjui alaf
duuuh!!Wanaume ni hatar kwa afya yangu ujue
Yaan nitafurahije ni mfikishie ujumbe wangu tu kuwa nampenda mnooduuuh!!
nikimjua ntafanya mpango muonane naye huyo, ngoja nimfuatilie nijue ni nan
daaahYaan nitafurahije ni mfikishie ujumbe wangu tu kuwa nampenda mnoo
Yaan nitafurah msake ukimpat niarifudaaah
sasa naanza kumuonea wivu kwa nn apendwe hivo!
ngoja ndio naendelea kumsaka hapa
kwa hiyo hapo ndiyo umechangamsha jukwaaHuyu ni celebrity wangu ninaye mkubali
Na wewe kama vipi tupia wa kwako unayemkubali.