katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Yataje hayo mambo yako mengi dada yangu tuyajadiliPumba tu. Sijaona point yoyote hapa!!!
Andikeni nyuzi zenye mashiko. Kuna mambo mengi ya msingi kujadili.
hahaPumba tu. Sijaona point yoyote hapa!!!
Andikeni nyuzi zenye mashiko. Kuna mambo mengi ya msingi kujadili.
Mkuu Ivi ulikuwa ukilipwa kipindi ulipo kuwa padri?Pumba tu. Sijaona point yoyote hapa!!!
Andikeni nyuzi zenye mashiko. Kuna mambo mengi ya msingi kujadili.
Dah, Mi nilijua wanalipwaKulipwa nini... Mshahara ama??? Hakuna mshahara, kumbuka ule ni utumishi.
Nimesomeshwa na kanisa, nimeishi nyumba ya parokia, kula, kuvaa, matibabu na usafiri vyote nalipiwa na kanisa.
Dah, Mi nilijua wanalipwa
Ila pongezi sana kwa kuiona Khaki na kuifuata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzuka ngani mkuu, kumbe ana mzuka???[emoji23][emoji23] unataka kumpandisha mzuka ww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzuka ngani mkuu, kumbe ana mzuka???
[emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo Wagalatia hawasemi neno kwake?Huyo mtu mfatilie post zake utaelewa ninachokiongea. Kuna siku aliwacharua wagalatia humu mpaka walikoma [emoji23]
Ya kujadili kuhusu punyeto ama?Pumba tu. Sijaona point yoyote hapa!!!
Andikeni nyuzi zenye mashiko. Kuna mambo mengi ya msingi kujadili.