Itakuwa, huoni hata mahereni wamevuakwenye picha wamekaa kinyonge sana,hau iyo picha walikua msibani?
..Mwenye Ngoma za Z Antony Disco vumbi ntashukuru Sana..
Aaah sio kweli hawana undugu wowote wamefanana tu hata majina yao hayafanani pia huo undugu wa damu uko wapi
Mtu akishiba mihogo na akiwa ba bando la mia tano anaposti tu chochote anachojiskiaWatu wanaingizana chaka sana mitandaoni ,mtu amekaa ghetto na bando lake la mia tano anaanza kupost utumbo utumbo.
Na muziki wao ni wa upole hivyo hivyo.kwenye picha wamekaa kinyonge sana,hau iyo picha walikua msibani?