Kwa wale wataalamu wa accounting!

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Wakuu,hivi unapokua unafanya haya maswali ya trial balance afu swali linagoma kubalance,kuna haja ya kufungua suspense account au ndio inakuaje wajameni?
 
kama una-deadline ya report, hiyo tofauti tupia huko kwenye suspense, utaitafuta next period ukiwa na muda.

but kama ni swali unafanya na linatakiwa li-balance, hapo bana chakarika tu, hakunaga maksi za suspence a/c kwa swali ambalo lina-balance
 
kama una-deadline ya report, hiyo tofauti tupia huko kwenye suspense, utaitafuta next period ukiwa na muda.

but kama ni swali unafanya na linatakiwa li-balance, hapo bana chakarika tu, hakunaga maksi za suspence a/c kwa swali ambalo lina-balance

mkuu deadline ya report ipo but ngoma imekataa kubalance kabisa ndo nikawa nafikiria labda best option ni kuifungulia suspense a/c.
 
Jaribu kuigawa namba hiyo kwa mbili labda unaweza ukaigundua na kukuwezesha kubalance Trial balance yako vinginevyo iweke kwenye suspense account ukiwa na muda ucheze nayo tena.
 
Jaribu kuigawa namba hiyo kwa mbili labda unaweza ukaigundua na kukuwezesha kubalance Trial balance yako vinginevyo iweke kwenye suspense account ukiwa na muda ucheze nayo tena.

mkuu,cjakuelewa,hapo ninayoigawa ni namba ipi?
 
Tofauti kati ya DR and CR sides kwa mfano ili kubalance kila upande ulitakiwa uwe na $1,000 lakini Dr side ina $1,200 na Cr side ina $800. Hiyo tofauti ya $400 igawe kwa mbili kisha uziangalie entries zako unaweza kuigundua.

mkuu,cjakuelewa,hapo ninayoigawa ni namba ipi?
 
Tofauti kati ya DR and CR sides kwa mfano ili kubalance kila upande ulitakiwa uwe na $1,000 lakini Dr side ina $1,200 na Cr side ina $800. Hiyo tofauti ya $400 igawe kwa mbili kisha uziangalie entries zako unaweza kuigundua.

ok,asante mkuu,ngoja nifanye hvo!
 
Hakikisha entries zote ziko sahihi kwa sababu utasaisishiwa kwa entries na siyo kwa kubalance hiyo TB japokuwa ukibalnce bila kuforce unakuwa na uhakika wa kupata entries zote, 100%.
Ukifuata double entries principles lazima TB yako ibalance.
 
Ukishindwa alternative ya BAK, find dif of Dr and Cr divide by 9, if completely divisible, yaweza kuwa ni error of transposition of figures.
Check pia transfer ya cash and bank accounts.
Check totals ya prime books if zina match na posting
check schedule ya sundry debtors and creditors kama zimewekwa
 
Last edited by a moderator:
Tofauti kati ya DR and CR sides kwa mfano ili kubalance kila upande ulitakiwa uwe na $1,000 lakini Dr side ina $1,200 na Cr side ina $800. Hiyo tofauti ya $400 igawe kwa mbili kisha uziangalie entries zako unaweza kuigundua.

heee! Review classes kwako, nshahairisha kwenda APT. Lol
 
Reactions: BAK
Hakikisha unajua vitu gani vinastahili kuwemo kwenye TB hasa watu wengi wanajichanganya sana kwenye inclusion of Corporate tax.

Lakini pia jiridhishe opening balance zote za audited Financial statement mwaka uliopita (nazungumzia upande wa statement of Financial Position) umeziweka kwenye TB.

Naamini ukijumlisha na ushauri wa wadau hapo juu lazima kitu i tally!
 

asante mkuu,nishapata ufumbuzi.
 
Heee me mgeni hapa!! naona Mauzauza tu
 
Kwema mkuu, naona mko jikoni hapa

dah!acha 2 mkuu,wengne a/c tumekuja kukutana nayo chuo kikuu so ni full kuona nyota.vp nyie hamjafunga?
 
dah!acha 2 mkuu,wengne a/c tumekuja kukutana nayo chuo kikuu so ni full kuona nyota.vp nyie hamjafunga?

hawa jamaa sijui wakoje yaani No kufunga, ila pind ma lecture wame tia pause kimtindo, so full kupumua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…