Kwa wale watu wazima kama mimi nawapeni dawa ya kiuno kuuma hii hapa

Kwa wale watu wazima kama mimi nawapeni dawa ya kiuno kuuma hii hapa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
1.Uwatu kijiko kimoja kikubwa. (Fenugreek)
2.Zaatari vijiko vitatu vikubwa. ( thyme)
3.Ubani (Dhukr)mweupe chembe saba.
4.Maji chupa moja.
unachemsha pamoja .
Matumizi: Robo gilasi kutwa mara tatu.
 
Back
Top Bottom