Kwa wale wenye akili tu, kama huna usije

Kwa wale wenye akili tu, kama huna usije

Tangantika

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2018
Posts
5,586
Reaction score
7,087
Kuna vitu viligunduliwa na mababu zetu na sisi tunavichukulia kawaida sana Ila ukivichunguza kiundani utagundua mengi yaliojificha.Chunguza picha hii na utuambie unaona nini katika ususi huo.Binafsi nimeona mambo kadhaa nitayaeleza baada ya michango,nyule mwenye interest anaweza enda unda ntakachokieleza.



IMG_20191031_164232.jpg
 
Wakati wanakatwa mikono kukomesha ujuzi wao, ulichukua hatua gani kuwakomboa?
 
Pause:Numejuta kuview hii post., Naona hiyo title hainihusu "Akili ya kitahira tahira"
 
Back
Top Bottom