Kwa wale wenye mtizamo negative kuhusu wimbo/video ya diamond

Kwa wale wenye mtizamo negative kuhusu wimbo/video ya diamond

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Watanzania tuwe tunam-crush mtu positive vitu tunavyoongea humu ata mwenyewe hata ona la kujifunza and still mnalalama musiq industry ha-improve,most of you ni jealous yani siku hizi wanaume wanawaonea wivu wanaume wenzao kisa wamewazidi kitu flani,hadi wanawake nao wanwaonea wivu wanaume.

Hamfikilii,hamjui wala hamtaki kujua kahangaika kiasi gani mpaka hiyo video kafaniksha,nakumbka diamond alikuwa halali anakesha akiwasiliana na watu wa South afrika kufanya booking ya location,kuweka booking ya private jet na boat,hakupanga atumie fellari but gari zaidi ya hiyo but nying zilikuwa ready taken.

Kafanya maandalizi ya video mwezi mzima na kafanya yote hayo akiwa kwenye mfungo pasipo kula , mna-focus on the last
line,forgettin about the hard work he had put on,mamilion aliyo envest pale.

Wanigeria wasingekuwa hapa walipo kama wangekuwa wanashoot video za million 2 au 5 ziszo na kiwango na huwezi pata kitu kizuri kwa gharama ndogo ndo maana hakuona hatari ku-invest million 50 kwa video tu kwasababu anajua faida yake huko mbeleni.

Analenga soko la kimataifa na si East Afrika pekee,afu leo mtu anaponda tu licha ya ukweli ulio wazi kuwa hakuna mtanzania pengine EA nzima alowahi kushoot video ya kiwango kama hii.

Tembeleeni youtube muone coments za raia wa nje kuhusu number 1,tembeleen site za nchi jirani muone wanavyoiongelea ila sisi watanzania sasa!

Watanzania tubadilike,hata kama tunakua na wivu kiasi hicho tujitahidi tu kupenda na kukubari vya kwetu.

Diamond u r a true DEFINITION OF MUSIC SUCCESS IN T.Z..U know what u'r duing.

SITETEI OR SIONGEI COZ HE IZ MA C.E.O or wot,naongea kitu cha kweli kinachoeleweka na haters sjui mtafanyeje mkisikia ORODHA YA MIKAKATI NA MIPANGO MIKUBWA YA KIMUZKI ALIYONAYO/ANAYOTARAJIA KUIFANYA .

WCB for life.
 
You're right. Let's support Tanzanian's identity in the music industry
 
Kwani watu wanaponda? Hiyo video mie nimeizimia hadi naona aibu. Diamond yuko juu bwana
 
Kwani watu wanaponda? Hiyo video mie nimeizimia hadi naona aibu. Diamond yuko juu bwana

Dada angu hujaona?watu wanaponda hadi kitendo cha kiungwana alichofanya cha kumsaidia mzee gurumo usafiri,chezea watanzania maskin wewe full hatin kwa kila kitu
 
Kwani watu wanaponda? Hiyo video mie nimeizimia hadi naona aibu. Diamond yuko juu bwana

Dadangu king'ast na Heaven shikamoo,naona mna vitanda humu jAmIi fOrUm eti,hivi net huwa mnashushaga?😕
 
Maadui huwa wanaongezeka mafanikio yakizidi.naomba naseeb aongezewe ulinzi.bei ya shoo ipande maradufu.na asionekane hovyo mitaani
 
Maadui huwa wanaongezeka mafanikio yakizidi.naomba naseeb aongezewe ulinzi.bei ya shoo ipande maradufu.na asionekane hovyo mitaani

baba alishapandisha siku nying sana,kutoka million 10 saiv million 12 kwa shoo za Tz,nje ni 18 .
na ana heshim kaz yake na ana msimamo sana hapend apelekeshwe.
nakumbuka juz tu kabla ya uznduzi alikataa show ya million 9 coz iko chin ya kiwango chake na si kwamba ana ringa but anatambua thaman yake na music kwake ni biashara kama zingine mtu ukianza ushikaj kwenye biashara ni waz hutosonga ,ana folen ya show mpaka mwakani.
 
Maadui huwa wanaongezeka mafanikio yakizidi.naomba naseeb aongezewe ulinzi.bei ya shoo ipande maradufu.na asionekane hovyo mitaani
kuhusu ulinz ana watu maarum kabisa ambao mpaka umfikie kwel una shida ya mhim na maana ..na kutoonekana hovyo,diamond uzuri wake cyo mtu wa kujirusha or kutoka toka,haend club mayb kwa show tu,zaid ya hapo maisha yake asilimia kubwa huwa ni studio+home basi.
 
Jamani, kwani kila mtu lazima apende unachopenda wewe?
Diamond ametoa clip, si basi acheni nguvu ya soko ifanye kazi yake?
Kama ni mzuri utabaki kuwa mzuri na kama sio mzuri basi ni fact, hakuna haja ya kupindisha maneno.
Your choice might not be my or his/her choice.
There is nothing you can do.
Choice yako sio ya mwengine, ni haki yao ku LIKE or not:A S angry:
heaven on desert, King'asti
 
Last edited by a moderator:
Jamani, kwani kila mtu lazima apende unachopenda wewe?
Diamond ametoa clip, si basi acheni nguvu ya soko ifanye kazi yake?
Kama ni mzuri utabaki kuwa mzuri na kama sio mzuri basi ni fact, hakuna haja ya kupindisha maneno.
Your choice might not be my or his/her choice.
There is nothing you can do.
Choice yako sio ya mwengine, ni haki yao ku LIKE or not:A S angry:
heaven on desert, King'asti

Bora umeliona hilo mana mleta uzi kaja kulalamika apa na kusahau kwamba kila shetani na mbuyu wke afu km watz wote wakipenda iyo video atapata wap challenge ya kufanya kitu kikubwa zaid ya icho na mwisho ikumbukwe nabii hakubaliki nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
Kesho na mimi naanzisha uzi wangu kumuhusu Diamond (C) aka Platnum (Pt).

Back to the Topick: Naweza jiita mfuatiliaji sana wa Musick hapa Bongo. Ingawa sio mvhambuzi na wala sina uwezo huo, ila nikikiona kitu bora mara ya kwanza tu sina haja ya kusubiri fulani akisifie au akiponde ndio na mimi nikikubali.
Nilianza kuiona video ya My Number 1 kabla ya audio, ofcourse video kiwango. Kwa Tz, Platnum anazidi kupiga hatua kila kukicha, na am sure anazidi kuitangaza vema nchi hii. Kuhusu swala la video, sijaona ata mtu mmoja, atawale nnao wajua ni anti-Diamond wakiiponda, wote wamesalute. Swala la audio, sio topic kwa sasa...

Swali nje ya Topic:
Diamond nasikiaga anaenda fanya show huko majuu, mara US,UK, na nchi zingine, pia jamaa hapa Tz ndio anashik headlines kila media na midomon mwa watu yy ndio MTP-Most Talked Person, hhhaa.. Kawazidi AY na Jide kimafanikio, lakini why zile tuzo za nje kama Chanel 0 yeye haitwi? Mara nyingi nasikia tu AY na Jide? Inamaana hawamuoni? Nimemsoma Wikipedia nimekuta tuzo anazofahamika kama kashinda ni hizi:

2010 Tanzania Music Awards(Kili awards)
2011 Tanzania Music Awards(Kili awards)
2012 Tanzania Music Awards(Kili awards)
2012 Nzumari awards - best artist from
Tanzania

Kaka heaven on desert kama unaweza nisaidia kujibu basihapo kidogo please kwa manufaaya wengi.
Mzuka.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimekubaliana na wewe kila kitu isipokwua hapo kwenye bold and Italic.

Mbona Dimamond amefanya clips nyingi sana na watu wanazikubali?
Mimi sio shabiki wa Dimaondo, lakini kwenye Nataka kulewa namkubali.
Sio kwlei Nabii hakubaliki nyumbani, ukifanya kazi za kuwaziba watu midomo watakukubali tu.
Shida yetu, waanzania tukipenda kitu tunakwua so blind and we dont want to hear the opposite side




Bora umeliona hilo mana mleta uzi kaja kulalamika apa na kusahau kwamba kila shetani na mbuyu wke afu km watz wote wakipenda iyo video atapata wap challenge ya kufanya kitu kikubwa zaid ya icho na mwisho ikumbukwe nabii hakubaliki nyumbani.
 
Tatizo mnapitiliza sana misifa kuliko uhalisia!binafsi usharo baro na uchezaji kama visichana vya sendoff huwa zinanifanya nisipende kuangalia kabisa video zake.Ila hii kama amefanya vizuri basi hongera zake.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Haya Babu Tale tumekusikia mana kijana anakuweka Mujini vipi TipTop kimya siku izi?
 
Kwakweli sina kinyongo na mafanikio ya diamond kabisa na nina kiri ni mwana muziki mzuri na anajali kazi yake.

Mimi ugomvi na diamond utabaki kwenye tuhuma za kuiba nyimbo za watu tuu na hata nataka kulewa uliharibiwa na tuhuma za kumuibia pasha na hata majibu yake yamekuwa yakinitia mashaka. Yeye usema kuwa mtu wenye matunda ndio utupiwa mawe.

Haitoshi sasa huu wimbo wake mpya nao umepata tatizo lile lile la nataka kulewa na kinacho nishangaza diamond ni msanii mzuri na ayejua kutunga na shangaa kwa nini ajiingize kwenye uhuni wa namna hii? From all musician why always diamond? Na kwa nini tuamini diamond is innocent kisa anajua kutunga na ni msanii mwenye kipaji?

Hivi kwa nini tuamini dyna na wengine wamechanganyikiwa?
Nime bahatika kuangalia video ya wimbo wake mpya ni nzuri na nimevutiwa nayo kwakweli na ni nzuri sana.

Lakini mimi bado najiuliza kwenye tuhuma zile na ukiangalia huo wimbo hauwezi fikia hule wa kesho.
Katika hili lazima diamond ajitazame upya na wewe pia hufai kumtetea kabisa.
 
Kwakweli sina kinyongo na mafanikio ya diamond kabisa na nina kiri ni mwana muziki mzuri na anajali kazi yake.

Mimi ugomvi na diamond utabaki kwenye tuhuma za kuiba nyimbo za watu tuu na hata nataka kulewa uliharibiwa na tuhuma za kumuibia pasha na hata majibu yake yamekuwa yakinitia mashaka. Yeye usema kuwa mtu wenye matunda ndio utupiwa mawe.

Haitoshi sasa huu wimbo wake mpya nao umepata tatizo lile lile la nataka kulewa na kinacho nishangaza diamond ni msanii mzuri na ayejua kutunga na shangaa kwa nini ajiingize kwenye uhuni wa namna hii? From all musician why always diamond? Na kwa nini tuamini diamond is innocent kisa anajua kutunga na ni msanii mwenye kipaji?

Hivi kwa nini tuamini dyna na wengine wamechanganyikiwa?
Nime bahatika kuangalia video ya wimbo wake mpya ni nzuri na nimevutiwa nayo kwakweli na ni nzuri sana.

Lakini mimi bado najiuliza kwenye tuhuma zile na ukiangalia huo wimbo hauwezi fikia hule wa kesho.
Katika hili lazima diamond ajitazame upya na wewe pia hufai kumtetea kabisa.

subili alikuwa kenya kesharudi a soon atajbu hizo tuhuma uone watu watakavyoaibika
 
si swala la kinyongo mdau heaven...washabiki wana nafasi kubwa kumfanya mwanamuziki atoe ngoma kali!!! na mimi ni mshabiki wa nyimbo zake ila hii ya number 1 siwezi kuficha kwamba haijanivutia...video ni nzuri ila haiendani na hadhi ya nyimbo maana nyimbo haina quality kwa kweli beat nyepesi kabisa bora angefanyia ukimuona!!!
 
Heaven unasahau sisi ndio walaji wa bidhaa, mziki kwani anamwimbia nani kama sio sisi. Na kumbuka si kila mtu anaweza kusifia kitu mimi naweza sema napenda sana wimbo wake ukimuona mwingine akasema anapenda sana nataka kulewa. Video yake nzuri sana na mwanzo sikupenda audio lakini naupenda day after day.
Kuhusu kuhangaika kwake kutengeneza video hiyo sisi kama walaji haituhusu sisi tuta judge tu product. Kwani wewe heaven, uwa unajiuliza ni kwa kiasi gani azam anahangaika mpaka kutengeneza juice unayoikuta dukan? Si we unakunywa tu ikiwa mbaya unalalamika.
Kauli kama hii niliisikia kwa ommy dimpoz akidai kwamba walioponda video yake hawajui hata kushika camera. Sasa nikajiuliza kushoot kunamhusu nini msikilizaji, wakati yeye ni final consumer.
Diamond keep it up umefanya revolution ya mziki tz, na akubari kuwa hakuna kizuri kisicho na kasoro na watu tunapenda kuongelea kasoro zaidi kuliko uzuri wa kitu, ni hayo tu.
 
braza heaven hebu waeleweshe haw wTZ mm kinachonifanya nizid kumpenda diomond nikuw yey hajal majungu cha muhimu kwke ni kazi ndo maana anazid kusonga.kw hii track ya #1 haterz mtalalama xana lakin mwenzetu ndo hvyo yupo international zaid!!
 
Back
Top Bottom