K kibaravumba JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 6,634 Reaction score 7,015 Sep 11, 2013 #21 heaven on desert said: subili alikuwa kenya kesharudi a soon atajbu hizo tuhuma uone watu watakavyoaibika Click to expand... Kwani kuna umbali gani kutoka Kenya hadi hapa Jf Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
heaven on desert said: subili alikuwa kenya kesharudi a soon atajbu hizo tuhuma uone watu watakavyoaibika Click to expand... Kwani kuna umbali gani kutoka Kenya hadi hapa Jf Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
heaven on desert JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 1,025 Reaction score 393 Sep 11, 2013 Thread starter #22 kibaravumba said: Kwani kuna umbali gani kutoka Kenya hadi hapa Jf Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums Click to expand... Keshajibu yote on xxl clouds
kibaravumba said: Kwani kuna umbali gani kutoka Kenya hadi hapa Jf Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums Click to expand... Keshajibu yote on xxl clouds
Meritta JF-Expert Member Joined Apr 26, 2011 Posts 1,303 Reaction score 294 Sep 11, 2013 #23 Uyo dyna na baba levo ni baadhi ya walalamishi wa tanzania hii.. wanaacha kufanya kitu cha maana wanasubir kulalamika.. hta hasingewaibia wasinge shine na izo beat. Daimond hataimba zote lakin wimbo wa kesho unanizuuza roho kweli
Uyo dyna na baba levo ni baadhi ya walalamishi wa tanzania hii.. wanaacha kufanya kitu cha maana wanasubir kulalamika.. hta hasingewaibia wasinge shine na izo beat. Daimond hataimba zote lakin wimbo wa kesho unanizuuza roho kweli
M mollelian masai Senior Member Joined Aug 9, 2013 Posts 124 Reaction score 20 Sep 13, 2013 #24 ni kweli tuache wivu ;big up diamond