Kwa wale wenyeji wa Mwanza hivi kuna sehemu wanawafikia hawa jamaa kwa huduma za kwenye magari

Kwa wale wenyeji wa Mwanza hivi kuna sehemu wanawafikia hawa jamaa kwa huduma za kwenye magari

wilsonwizzo3

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
625
Reaction score
2,704

Hawa jamaa wanapatikana Igoma,bango,(SUPER BLUE SKY)
IMG_20240701_114736.jpg
IMG_20240701_115045.jpg
IMG_20240629_104545.jpg

Wanatoa huduma zote iwe kuweka mafuta, service kwenye gari yako, parking ya gari yako,kuosha gari yako,wana kila kitu mpaka mizani ya kupimia uzito wa mizigo kwenye magari ya mizigo na ni kwa njia za kisasa kabisa na ni b
IMG_20240701_114831.jpg



ei rahisi halafu hawacheleweshi wateja maana wanawafanyakazi wa kutosha

Njoo pia usafishiwe taa za gari yako kwa njia ya kisasa kabisa,usihangaike kuingia gharama zisizo na sababu maana njia zipo za kuzirudisha taa zako kwenye ubora wake
Call/WhatsApp 0745142197
IMG_20240629_104545.jpg
IMG_20240629_104545.jpg
IMG_20240701_115045.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240701_114736.jpg
    IMG_20240701_114736.jpg
    1.4 MB · Views: 3
Back
Top Bottom