Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ana uhakika gani kuwa wake wenzake wapo Jfhiyo inawahusu wake wenzako tuu
au mods mnasemaje??
☝☝Sijui ana uhakika gano kuwa wake wenzake wapo Jf
😀😀😀😀😀
Ushauri wako haueleweki.nazima data wakati gani? Wakati naandika huo ujumbe au wakati nimeshakosea na kuutuma???Nimewaza na naona ni rahisi kuzuia message yako isiende kabla hujaihariri.
Ni rahisi. zima Data kwenye simu yako, kwenye ama mtandao mwingine wwt hakikisha hatuna connection/hakikisha upo offline.
😀 😀 😀
siyo wake zake ni wake wenzake....naona ana wivu sana na mumeweWake zako wako humu mkuu?!
Mbona hasira mkuu, kwani kichwa cha uzi wako kinasomekaje?Mnalaana nyie. Unajua unacho complain huoni hata aibu Stephen Chelu
😀Huwa unakuta mnakimbilia wapi kwani