Kwa wale wenzangu tunaotuma sms, email WhatsApp na kukosea kosea, tumia njia njia hii kuhariri kabla hujatuma

Yoranda

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
341
Reaction score
338
Nimewaza na naona ni rahisi kuzuia message yako isiende kabla hujaihariri.

Ni rahisi. zima Data kwenye simu yako, kwenye ama mtandao mwingine wwt hakikisha hatuna connection/ hakikisha upo offline.
 
hiyo inawahusu wake wenzako tuu





au mods mnasemaje??
 
"Kwa WALE wenzangu tunaotuma SMS, email whatsApp kwa kukoseakosea"
 
Nimewaza na naona ni rahisi kuzuia message yako isiende kabla hujaihariri.

Ni rahisi. zima Data kwenye simu yako, kwenye ama mtandao mwingine wwt hakikisha hatuna connection/hakikisha upo offline.
Ushauri wako haueleweki.nazima data wakati gani? Wakati naandika huo ujumbe au wakati nimeshakosea na kuutuma???
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Sijataka kufuata wa mleta mada kwa kuwa unawalenga wake wenzake tu.
Mnalaana nyie. Unajua unacho complain huoni hata aibu Stephen Chelu ulipaswa kurekebisha
 
Mnalaana nyie. Unajua unacho complain huoni hata aibu Stephen Chelu
Mbona hasira mkuu, kwani kichwa cha uzi wako kinasomekaje?
Kama kimekosewa kwa nini hujatoa maelezo ya masahihisho?
Kukaa kwako kimya kunaonyesha kila kitu kipo sawa. Kosa letu ni lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…