M Munghiki Senior Member Joined Oct 10, 2010 Posts 153 Reaction score 11 Nov 10, 2010 #21 Ferds said: we kimbweka mi nikifumania nakufumua marinda tu cna jingine Click to expand... hii imecmama no other option,mla nae uliwa te te teh
Ferds said: we kimbweka mi nikifumania nakufumua marinda tu cna jingine Click to expand... hii imecmama no other option,mla nae uliwa te te teh
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2010 Posts 7,956 Reaction score 5,149 Nov 11, 2010 #22 Kimbweka said: Hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, BF au GF hali inakuaje hapo? uasilia wa tukio la fumanizi Click to expand... Mh, swali gumu kwani watu tunatofautiana,lakini kwa upande wangu mi huwa mpaka najishangaa maana nakuwaga na mbio hata kama mfumanizi wangu ana mbwa basi mbwa hao huishia kunitolea macho tu maana hata wanikimbize vipi hawatanikamata.
Kimbweka said: Hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, BF au GF hali inakuaje hapo? uasilia wa tukio la fumanizi Click to expand... Mh, swali gumu kwani watu tunatofautiana,lakini kwa upande wangu mi huwa mpaka najishangaa maana nakuwaga na mbio hata kama mfumanizi wangu ana mbwa basi mbwa hao huishia kunitolea macho tu maana hata wanikimbize vipi hawatanikamata.