Fuatilia ukoo wako labda kuna laana mkuu.mie kila ishu ya maana ya ela ikikaribia kufanikiwa tu inabuma bil sababu
Nimewahi kupata wawili facebookila.mmoj alikuwa.mteja wangu sema akanipenda mwenyeweKama kichwa cha habari kinavyojieleza, huu ni uzi kwa wale wote ambao wanahisi wanagundu yaani no bahati.
Tiririkeni hapa na hayo magundu yenu.
Mimi binafsi sijawahi kupata demu mtandaoni, hili ni gundu kwangu.
Tulikuwa tunaokotaga enzi za MwinyiMimi sina bahati ya kuokota pesa
Hebu lete stori kwanza tupitishe pitishe usikuNimewahi kupata wawili facebookila.mmoj alikuwa.mteja wangu sema akanipenda mwenyewe
Unajisomea kuanzia mwezi wa kwanza ili kuja kuukabili mtihani wa mwezi wa tisa.Bahati ni matayarisho yanapokutana na nafasi, kwa hiyo, jitayarishe vizuri, halafu kaa sehemu zenye nafasi nafasiya ulichojitayarishia.
Utaona hichokinachoitwa bahati kinatokea chenyewe.
Huwezi kufunga goli kama hujakaa karibu na goli unalotaka kufunga.
Waswahili walisema,mgaa gaa na upwa, hali wali mkavu. Hata cha kuokota ataokota tu.
Sasa huyo kitendo cha kugaa gaa na upwa tu kashajitengenezea mazingira ya kupata bahati ya kuokota kitu.
Sasa tunaolia hatuna bahati, tunajaribu vipi kujitengenezea mazingira ya kupata bahati?
Ingekua tunajuana in reak life ningekukata makofiKushindwa kufikia malengo ya mtihani wangu nilijihisi sina bahati
Ashukuriwe mungu kwani Nilijaribu MPAA kujiua
Ok mzee haya Mambo hayajakukuta tulia!Ingekua tunajuana in reak life ningekukata makofi
Leo wateja hakuna nini.? Au fujo zimetuliaIngekua tunajuana in reak life ningekukata makofi
Saa saba patakua bize hata muda wa kushika simu nitakosaLeo wateja hakuna nini.? Au fujo zimetulia