Kwa WALIMU hili wazo mnalionaje wakuu

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Mwanajeshi akifa husindikizwa kwa mizinga au bunduki, Mashekhe husindikizwa kwa Dua nzito, Je kuna ubaya gani mwalimu akasindikizwa kwa viboko? JEE WAZO HILI UNALIONAJE? tunaamuaje hapa wakuu?
 
Huyo mwanajeshi anaesindikizwa na bunduki anapigwa na hiyo bunduki? Kwanza tuanzie hapo, nachojua ni kwamba bunduki zinapigwa juu,kama Mwalimu nae fimbo zitapigwa mahari mnapopajua nyie sawa
 
Huyo mwanajeshi anaesindikizwa na bunduki anapigwa na hiyo bunduki? Kwanza tuanzie hapo, nachojua ni kwamba bunduki zinapigwa juu,kama Mwalimu nae fimbo zitapigwa mahari mnapopajua nyie sawa

Na masheikh je?
 
APEWE BOX LA CHAKI AKAENDELEZE PINDI HUKO ANAKOENDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…