Kwa walimu wapya grade 3 waliopangwa dodoma

Joined
Dec 12, 2012
Posts
19
Reaction score
0
Habari zenu wapendwa, mimi ni miongoni mwa walimu wapya grade 3 nimepangwa Mwanza wilaya ya kwimba kwa yeyote aliyopo Dodoma wilaya yoyote na anapenda kufanyia mwanza kama yupo tayari tubadilishane,
 
Aisee mi nimepangwa lakini ni bachelor na natamani sana kufanyia mwanza, kama vipi fanya mchakato kama itawezekana ikiwezekana get me via 0716082928
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…