TURUFUDUME
Member
- Dec 14, 2014
- 70
- 39
Mimi ni mfanya biashara za spea za magari used dareslam, spea huwa nachukulia Dubai nå Japani, nataka kuomba Mungu kupeleka spea zangu Msubiji kwani huko nasikia kuna biashara uzuri tu, lakini nategemea nipeleke kwa ajili ya kuuza kwa jumla tu niwauzie wenye maduka.
Kwani sina muda wa kukaa huko Msumbiji kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana nå shuhuli zangu hapa Dareslam, nataka nijuwe je huko Msumbiji biashara ya spea za gari zinaendaje? Je soko lake likoje? changamoto za biashara msumbiji zipoje?
Ukitaka kutoa ushauri jaribu kuzungumza ili tunufaike sote jukwaani sio kuanza mara pm mara nini, kwa maelezo zaidi nipigie 0657617671 au 0773617671.
Sina ulazima wakupeleka Msumbiji hata wa mikoani kama wanataka mzigo wa jumla nitawapelekea mpaka mkoa husika.
Ahsanteni
Kwani sina muda wa kukaa huko Msumbiji kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana nå shuhuli zangu hapa Dareslam, nataka nijuwe je huko Msumbiji biashara ya spea za gari zinaendaje? Je soko lake likoje? changamoto za biashara msumbiji zipoje?
Ukitaka kutoa ushauri jaribu kuzungumza ili tunufaike sote jukwaani sio kuanza mara pm mara nini, kwa maelezo zaidi nipigie 0657617671 au 0773617671.
Sina ulazima wakupeleka Msumbiji hata wa mikoani kama wanataka mzigo wa jumla nitawapelekea mpaka mkoa husika.
Ahsanteni