July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Hivi hii inshu ya remedial couse {samahani kwa spelling, am only human} imekaaje..? Nafahamu wanaitaji principal pass mbili lakini sina uelewa mkubwa wa mambo mengine kama inaanza lini, fee, wanaitaji nini? Process gani zinatmika kujiunga? Ni kwa muda gani?
#naamini chochote utakachonambia kitakuwa na msaada kwangu, SHUKRANI#
#naamini chochote utakachonambia kitakuwa na msaada kwangu, SHUKRANI#