Kwa walio single, natafuta mume aliye serious

Kwa walio single, natafuta mume aliye serious

Dada Mpwa wangu haya mie nakuombea kwa Mungu ajibu haja ya moyo wako. Ukimpata basi uwe mwaminifu na umpende huyo wa kwako. Amen
 
Mi naona unanifaa mi ni msabato nina miaka 25 kama kwli umedhamiria ntafute kwa namba 0763207529 ila kma ni utani usinitafute
 
Mi naona unanifaa mi ni msabato nina miaka 25 kama kwli umedhamiria ntafute kwa namba 0763207529 ila kma ni utani usinitafute

Nipo serious ila ilo kabila lako naliogopa, huwa mnagawa dozi yakufa m2(Mnapiga)
 
Nipo serious ila ilo kabira lako naliogopa.huwa mnagawa dozi yakufa m2(Mnapiga)

Kama vile naona unataka kupoteza hii bahati sasa.... Smile njoo uopoe msabato naona huyu hayuko serious
 
Last edited by a moderator:
mimi hapa nipo ka ajili yako kabisa tailor made
 
Mimi nimetuma maombi lakini kanichunia hili ni janga kwa kweli
 
Nipo serious ila ilo kabira lako naliogopa.huwa mnagawa dozi yakufa m2(Mnapiga)
Ha ha, kumbe ni muoga kiasi hiki! Haya njoo kwangu nina 29, nimekupm email adress yangu. Unapatikana wapi lakini?
 
msabato masharti mengi oooh usile pilau saa nane,usivae kipedo .usipake wanja .usitoge sikio mimi hayo sitaweza meeen
leta kifaa kingine
naweza kupata nafasi hii tafadhali?
 
Nina 23yrs.natafuta mwanaume
ambaye 2takuja kuwa mwili mmoja.Awe Mkristo thehebu lolote,asiwe na mke
sipendi wizi na asiwe sharobaro kwani mm sio cster duu!.kwa maelezo
zaidi nipm.

tafadhali chungulia post yangu'would you like to be my lover plz'thaminisha ukiona nakufaa na unavigezo ni pm.
 
Yaan jamii ya hwatu woote unaoishi nao kwa maana ya wanaokujua na uwajuao vizuri umekosa mwenza
 
Back
Top Bottom