Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijabobea katika lugha ila nahisi naweza kukusaidia. Ni hivi Babarita,lugha mama ni lugha ambayo mtu amekua akiiongea na hivyo kujikusanyia misamiati mingi ya lugha hiyo,sasa linapokuja swala la kujifunza kwa mtu ambaye amekuwa akitumia lugha mama tu kwa mawasiliano,na akatakiwa ajifunze kwa lugha tofauti hapo inakuwa ngumu kwa sababu mtu huyo hana misamiati ya kutosha ya ile lugha nyingine na hivyo kujikuta akishindwa kuelewa baadhi ya mambo katika kujifunza kwa sababu ya upungufu wa misamiati wa lugha ya kujifunzia.Wana jamvi tusaidiane LUGHA MAMA(lugha ya kikabila) inaathiri vipi maendeleo ya mwanafunzi kujifunza?
Mdau asante kwa majibu mazuri. Blue G, je kuna athari nyingine kijamii mwanafunzi atazopata?Sijabobea katika lugha ila nahisi naweza kukusaidia. Ni hivi Babarita,lugha mama ni lugha ambayo mtu amekua akiiongea na hivyo kujikusanyia misamiati mingi ya lugha hiyo,sasa linapokuja swala la kujifunza kwa mtu ambaye amekuwa akitumia lugha mama tu kwa mawasiliano,na akatakiwa ajifunze kwa lugha tofauti hapo inakuwa ngumu kwa sababu mtu huyo hana misamiati ya kutosha ya ile lugha nyingine na hivyo kujikuta akishindwa kuelewa baadhi ya mambo katika kujifunza kwa sababu ya upungufu wa misamiati wa lugha ya kujifunzia.
Ndio kijamii pia zipo.kwa mfano ikiwa alizoelea kukaa katika jamii iliyo na watu wanaozungumza lughamama kama yake hatopata athari zozote hasa za mawasiliano.Lakini pindi ikitokea amelazimka kuhamia ene jingine ambapo watu hawzungumzi lugha mama kama yake,kijamii atapata athari kwani atashindwa kuwasiliana na wengine,mpaka kipindi fulani cha wakati kipite.sijui umenielewa Babarita?Mdau asante kwa majibu mazuri. Blue G, je kuna athari nyingine kijamii mwanafunzi atazopata?
Nimekuelewa mkuu.Rejea kwenye athari za kimasomo alafu onesha uhalisia kwenye jamii za kitanzaniaNdio kijamii pia zipo.kwa mfano ikiwa alizoelea kukaa katika jamii iliyo na watu wanaozungumza lughamama kama yake hatopata athari zozote hasa za mawasiliano.Lakini pindi ikitokea amelazimka kuhamia ene jingine ambapo watu hawzungumzi lugha mama kama yake,kijamii atapata athari kwani atashindwa kuwasiliana na wengine,mpaka kipindi fulani cha wakati kipite.sijui umenielewa Babarita?
lugha mama humuathiri mtu anayetaka kujifunza lugha nyingine katika
matamshi, na sarufi yani (grammar) hapa ndio utaona mtu anahangaika kubadilisha tensi ya kiswahili kwenda kingereza
mfano mzungumzaji wa kiswahili kama lugha mama akitaka kuuliza kingereeza are you calling me? atasema you are calling me eehhh? hii ni athari ya sarufi ya lugha yake mama
haya ndio matatizo makubwa ya lugha mama katika kujifunza lugha nyingine.