pamoja xana baro, hv upo coz gan maana unaonekana ku2jali xana. Nashukuru
agriculture engineering......vilevile utaniona siku ya orientation
aise mkaka embu maelezo kidogo hapa..kwa wale wote mliochaguliwa engineering sua,...mnatakiwa mkifika mzingatie sana kusoma kwani matokeo ya semista ya 2, yametoka watu wamedisco balaaa....madogo mje kusoma .....prof. mpanduji, prof.mulengera,...Dr. banda na wengineo wasiwakamate........karibuni sua..... a centre of excellence
aise mkaka embu maelezo kidogo hapa..
kwenye maelezo yao wanasema ela ya hostel(ni 78000 kama sikosei) tuwasiliane nao ndo tulipie benk.. kwan ni lazima tulipe sasa hivi au ni mpaka tufike chuo(mda wa kwenda chuo) chuo?? na mda wa kuwasili chuo walivyosema ni tarehe 8/10 na ndo siku hiyohiyo orientation inaanza,sasa ukienda b4 itakuaje kwa maana nikienda tarehe 8 inamaana ntamiss part ya hiyo koz!! EMBU NAOMBA MAWAZO YAKO MKUU!!!
Ukimaliza registration utaonyeshwa ilipo ofisi inayohusika na mambo ya hostel na watakudirect benki. msiwaze sana cha msingi uwe na pesa yk tu. Karibun SUA
.................aise mkaka embu maelezo kidogo hapa..
kwenye maelezo yao wanasema ela ya hostel(ni 78000 kama sikosei) tuwasiliane nao ndo tulipie benk.. kwan ni lazima tulipe sasa hivi au ni mpaka tufike chuo(mda wa kwenda chuo) chuo?? na mda wa kuwasili chuo walivyosema ni tarehe 8/10 na ndo siku hiyohiyo orientation inaanza,sasa ukienda b4 itakuaje kwa maana nikienda tarehe 8 inamaana ntamiss part ya hiyo koz!! EMBU NAOMBA MAWAZO YAKO MKUU!!!