<br />Mtatolewa matangazo katika magazeti siku ya kwenda kuchukua admission letter,kuhusu vyumba wanapanga wenyewe ikiwa tayari wanabandika majina na suala la mabibo au main campus ni bahati tu hakuna vigezo labda kwa wenye ulemavu
<br />Mtatolewa matangazo katika magazeti siku ya kwenda kuchukua admission letter,kuhusu vyumba wanapanga wenyewe ikiwa tayari wanabandika majina na suala la mabibo au main campus ni bahati tu hakuna vigezo labda kwa wenye ulemavu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Nina swali mheshimiwa....kuna tetesi nlikuwa naskia bila kuuzunguka mbuyu kupata main kampas itakuwa ndoto....unalolote la kusema juu ya hili..natanguliza shukrani
<br />
<br />
1st yr huwa wanapewa priority ya kuish main cumpus.
Habari zenu wanajf,mimi ni miongoni mwa waliochaguliwa kujiunga udsm kwa mwaka huu wa masomo. Naomba kwa yule anaefahamu anisaidie nifahamu chuo kitafunguliwa lini kwa first year?,pia joining instruction forms wanatoa au utaratibu wa kuzipata uko vp?,pia upatikanaji wa vyumba mabibo au main campus uko vip?. Naomba kuwasilisha
<br /><br /><br />
<br /><br />
Nina swali mheshimiwa....kuna tetesi nlikuwa naskia bila kuuzunguka mbuyu kupata main kampas itakuwa ndoto....unalolote la kusema juu ya hili..natanguliza shukrani
<br />Nyie madogo mtakao pangwa kule kwe2 kwa wahuni{mabibo}mjiandae kupga shato pori a.k.a SP.
<br /><br /><br />
<br /><br />
ndo nn, mbna unatutsha..