Latest version
Member
- Mar 1, 2014
- 40
- 9
ndugu zangu nliokosa mkopo kutoka serikalin poleni kwa yanayowasibu maana natambua sio wote weny uwezo wa kujilipia ada, malazi na matumizi mengne...
ushauri- msikate tamaa jitahidin ku appeal na pia ku apply upya nina ushahid kibao kwa watu walio appeal na ku apply upya wakapata zaid ya wanafunz 100 kutoka ardhi university na zaid ya 150 kutoka Udsm..so pls take it sereously.
ushauri- msikate tamaa jitahidin ku appeal na pia ku apply upya nina ushahid kibao kwa watu walio appeal na ku apply upya wakapata zaid ya wanafunz 100 kutoka ardhi university na zaid ya 150 kutoka Udsm..so pls take it sereously.