Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Haaaahaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]Natuma salamu kwa
1. Andrew Chenge
2. Daniel Yona
3. Nazir Karamagi
4,(Lazaro Nyalandu)
5.(Basil Mramba)
UJUMBE
Shamba la bibi limeota nyasi zenye upupu...
Forumyangu funguka bibi yeNatuma salamu kwa. ...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Natuma salamu kwa
1. Andrew Chenge
2. Daniel Yona
3. Nazir Karamagi
4,(Lazaro Nyalandu)
5.(Basil Mramba)
UJUMBE
Shamba la bibi limeota nyasi zenye upupu...
Ebu ngoja nikae hapa nisikilize kipindi cha tuma salam....[emoji5] [emoji5] View attachment 523016
Natuma salamu kwa 1.wavuvi na wakokozi wote kule lake victoria
2.salamu kwa mabasi yote yaendayo mikoani yakianzia nyegez au buzuruga mza
3.salamu kwa mitumbwi,vivuko,meli zote zikianzia kamanga,kirumba au usagara
4.salamu kwa wote waishio milimani mwanza
5. Salamu kwa daladala zootee jijini mwanza
shikamooNatuma salamu kwa 1.wavuvi na wakokozi wote kule lake victoria
2.salamu kwa mabasi yote yaendayo mikoani yakianzia nyegez au buzuruga mza
3.salamu kwa mitumbwi,vivuko,meli zote zikianzia kamanga,kirumba au usagara
4.salamu kwa wote waishio milimani mwanza
5. Salamu kwa daladala zootee jijini mwanza
Mkuu hujasoma ujumbe?23_27 , unataka uwafanyaje mkuu?
Asante kwa salam boss