Kwa waliolewa au tambulisha wachumba

Marytina

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
9,585
Reaction score
7,766
ilikuwa furaha bin happy siku nilipompeleka mchumba kwa utambulisho kwetu.

Wana JF kwenu ilikuwaje?

29th June 2011 12:40 PM Familia ilivyoshangilia siku nilipompeleka kwetu mchumba.jpg
 

Attachments

  • Familia ilivyoshangilia siku nilipompeleka kwetu mchumba.jpg
    86.3 KB · Views: 187
Utakuta caretakers wa hiyo family yote ni huyo kokoo na huyo maza. Sasa hayo majukumu yanahamia kwako. Hapo unayo timu ya mpira na reserve.
Kazi kwako.
 
ilikuwa furaha bin happy siku nilipompeleka mchumba kwa utambulisho kwetu.

Wana JF kwenu ilikuwaje?

29th June 2011 12:40 PM Familia ilivyoshangilia siku nilipompeleka kwetu mchumba.jpg


wewe ni mwanaume?
yees bas ukishaoa ITAKUWA VYEMA SANA KM UKIHAMIA UKAENDA KUISHI NA I FAMILIA YAKO...:bange:
 
ilikuwa furaha bin happy siku nilipompeleka mchumba kwa utambulisho kwetu.Wana JF kwenu ilikuwaje?
29th June 2011 12:40 PM Familia ilivyoshangilia siku nilipompeleka kwetu mchumba.jpg
Hongera sana!
 
Wewe ni yupi hapo? Huyo aliyenyoosha mikono juu au wa mwisho kulia?
 
Wewe ni yupi hapo, na mchumba wako ni yupi hapo? na mbona sioni wazee akina mama na baba waliopokea wageni? yaani hao watoto na bibi ndio walipokea mchumba? Anyway, ni siku ya furaha saana kwa wahusika na wazazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…