Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Ni ule ungaunga wa kwenye exhaust pipes.. Mnapata changamoto gani? Ni sababu zipi zilifanya ukatoa kwenye garu yako.
Yangu nilitoa kutokana na gari kukosa nguvu na ilionekana iliziba due to plus zilikua hazichomi vizuri so mafuta mafuta yakafanya izibe.
Yangu nilitoa kutokana na gari kukosa nguvu na ilionekana iliziba due to plus zilikua hazichomi vizuri so mafuta mafuta yakafanya izibe.