Kwa waliooa tu: Je, ni kweli ndoa bila michepuko haiendi?

Kuna mwanandoa mmoja anasema " oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko " hakuna watu malaya kama waliooa.kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa mnafeli wapi?....Uzi tayari
Oeni katika wanawake mnaowapenda wawili, watatu au wanne na kama mtakhofia kutofanya uadilifu basi mmoja - Quran.
 
Kwa hizi nyuzi zinazoletwa humu kila siku watu wakilia lia kwenye ndoa zao, naanzaje kumtupa mchepuko wangu kidawa? Kikubwa ajitambue tu.



Let's meet at the top, cheers [emoji482]
[emoji23] [emoji1787] [emoji23] [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…