Si kweli wanandoa wanahamu sana tena kama mmekutana watundu kwenye majamboz ukiwa kazini unatamani muda uishe fasta urudi nyumba usiku uingie muingie uwanjani muanze libeneke
Kuna madai kwamba wanawake walioolewa hawapendi sana ngono kulinganisha na kabla ya kuolewa. Na hasa ndoa kuanzia mwaka mmoja na kuendelea. Kama ni kweli tatizo nini. Kwa walio ndani ya ndoa majibu pls
Kuna madai kwamba wanawake walioolewa hawapendi sana ngono kulinganisha na kabla ya kuolewa. Na hasa ndoa kuanzia mwaka mmoja na kuendelea. Kama ni kweli tatizo nini. Kwa walio ndani ya ndoa majibu pls
Kilicho mbali ndio kinaleta hamu. Kikiwa karibu huwezi kuwa nahamu nacho sana, si kipo tu.
wanakuwa wamechoka na game
daily gwaride unazani padogo?
ennhh kumbe sjaolewa....:car::car:byeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ngoaja nikwambie, sio kwamba hatupendi, ila wanawake walio age ya kulea yaani watoto wadogo wadogo before 5 years, mawazo ya kudu hupungua kutokana na concetration kwa watoto, lakini watoto wakivuka age hiyo yaani zile za ng'eyaa! mara we acha! zimeisha yaani hamu ya kudu hurudi tena kwa nguvu kuliko mwanzo. Ni majukumu tu jamani tuvumiliwe tukimaliza kulea tunarudi katika chati.
Kwa mtaji huu bado nipo nipo sanaaa tuu:biggrin::biggrin::biggrin:
ceteris paribusNimekupa mzee ceter per bus!!!