Mie hao jamaa nilikuwa siwapendi, kwanza walikuwa waonevu, pili waliwah kuninyang'anya mzura wangu enzi hzo na kunipigisha push-up waliponikamata natoroka skuli saa mbili usiku, basi toka hapo mie na hao jamaa ni chui na paka.
Du! mie na kusahau nishaisahau hiyo skauti, tangu mwaka 1986 Mzee Ally Hassan Mwinyi alikuja makao makuu yetu Upanga, akatuvisha beji, Bahada ya kuwa tumeweka kambi kwa wiki nzima kwenye pori la chuo kikuu kipindi hicho.
Yaani siku ya mwisho siwezi kuisahau tumetembea usiku kucha kwa miguu kuanzia chuo kikuu, mwenge, sarender bridge, ocean road, central police, fire, magomeni, manzese, mpaka chuo, kukawa kumeshakucha.
Ilikuwa noma watoto wa mama mbona walitoroka. Du hapo ndio mwanzo wa ukakamavu ilikuwa. Na uwanja wa taifa tulikuwa tunaingia bure, tunakaa pembeni ya uwanja kuokota mipira.
ilikuwa wapi hiyo iringa? ahah ahha hahpole sana
Ha ha haaahhh!!1 Sababu ya baridi..Iringa wanapenda sana Mizula,
Sikuwahi kufika....nilikuwa na hamu ya kufika bat camp moro... ila sikuwahi vipi uliwahi fika??
Nyie ndio mliosoma mjini shule za wajanja?
Wengine skauti tumeishia kuona kwenye TV ukubwani.
Mie hao jamaa nilikuwa siwapendi, kwanza walikuwa waonevu, pili waliwah kuninyang'anya mzura wangu enzi hzo na kunipigisha push-up waliponikamata natoroka skuli saa mbili usiku, basi toka hapo mie na hao jamaa ni chui na paka.
ndio wapi hao nao?
Scout wa kike!ndio wapi hao nao?