Kwa waliosikiliza TBC leo asubuhi,kuhusu ajira za walimu.

Kwa waliosikiliza TBC leo asubuhi,kuhusu ajira za walimu.

Makuku Rey

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
3,497
Reaction score
3,823
Kuna jamaa kanipigia simu asubuhi,na kunambia eti serikali imetangaza kuwa kwa walimu wanaosubiri ajira mpya inawapasa kuomba kwa kuandika barua-zoezi hili huanza sasa! Eti ni kweli wakuu?
 
mi nasubiria taarifa wakuu! kama si kweli si mseme coz nna presha!
 
ngoja tusubiri waliosikiliza taarifa ya habari ya asubuhi T.B.C TAIFA
 
Si kweli,kwani ajira zilishapangwa tayari,tatizo ni pesa na si vinginevyo.
 
Kuna jamaa kanipigia simu asubuhi,na kunambia eti serikali imetangaza kuwa kwa walimu wanaosubiri ajira mpya inawapasa kuomba kwa kuandika barua-zoezi hili huanza sasa! Eti ni kweli wakuu?
Je alipo kupigia simu haukumtakisha maelezo ?
Komaa naye akuthibitishie.
 
Du! Ngoja nikomae nae!Mpaka aseme alikuwa ananidanganya ndo ntarizika.
 
Back
Top Bottom