Mi poa!! kama m2 hajasoma hiyo IT atansaidia vipi?! .......unafikiri IT ni makalio kila m2 anayo.
siyo siri mkuu umekurupuka! hueleweki!kijana sio alsima IT tuu ndie anaweza hata ss wa Law pia tunaouwezo huo so kuwa makini katika kuelezea humu hatubaguani sote ni wamoja katika technologia ndi maaana tunasaidiana kwa kila hali. Wee ukitaka course ya chuo fulani fungua website yao then nenda kwenye prospectus yao then hapo utaona course na units zake zote. Kama hujaelewa pia sema
Wenye BRC of Computer Science nao hawatakiwi ?
Jipange upya,hujui unataka nini?
we uliza swali watu wakupatie basi mabo ya kuwagawa ni ujinga wa kutolewa au uelewa wa ujinga
sina hiyo unayotaka lakini naweza kukusaidia tu.ila tu ukiwa mpole
Kijana hebu acha majigambo kwanza, rekebisha hiyo heading kwanza hamna kitu kama "BARCHELOR OF IT".....
Halafu mbona hueleweki unataka za chuo gani maana kila chuo kina mpangilio wake na je kuanzia mwaka gani?
Kama wewe unasoma IT kama unavyojidai unashindwa hata ku google........ kuwa na busara na heshima unapoomba msaada.
Lipeni ada kwanza, mambo ya units baadaye!