Cheki na hii link Information and Communications Technology, BSc Hons - Computing - Information Technology Programmes - University of Greenwich ingawa zipo nyingi tu kutokana na university unayotaka.
wala usipate taabu bure hebu nenda ktk website ya ifm.the institute of finance management :: Home harafu hapo fungua prospectus yao hapo ifm then nenda kwenye hiyo course ya it nafikri hapo swali lako lote litajibiwa mkuu.
thread imepoteza mwelekeo, aliyeianzisha ajipange kuuliza upya. Suala la units halijalishi umesoma b.sc. It au la!!
Pia mitaala inabadilika kulingana na muda/chuo. Mtaala wa it wa mwaka 2000 ni tofauti na 2011.
Cheki na hii link Information and Communications Technology, BSc Hons - Computing - Information Technology Programmes - University of Greenwich ingawa zipo nyingi tu kutokana na university unayotaka.
mkuu popobawa hilo neno hapo juu ni bachelor au barchelor hiyo unaimaanisha maana hilo neno halipo hata ukigoogle watakuleta hapa hapa JF
Mkuu,KISWAHILI hakina aniorozeshee BALI aniorodheshee!
Hata kama siyo mtu wa IT siku hizi nchi zilizoendela wanaenda sambamba na IT kwa kila somo! Usidhani JF ni bongo inapatikana pekee!!IT nikila mmojawapo ajue IT!maana hata anayetumia JF tayari anajua IT japo siyo kwa mapana!pole wewe kopofu uliye ona siku moja ukaona neno IT!!Hata ujuo IT ipo katika mafungu yapi!Poor IT man!!Poa mkuu nimekuelewa, mi ckuweka hiyo "TU" kwa maana mbaya, nimeiweka ili kupunguza kejeli, m2 akiona aimuhusu asiifungue achape mwndo maana siku hizi humu ndani m2 anaweza kuuliza ki2 cha maana m2 akajibu ovyo 2 anavyojisikia yy. so plz ht ww unaweza kunisaidia.
hata kama siyo mtu wa it siku hizi nchi zilizoendela wanaenda sambamba na it kwa kila somo! Usidhani jf ni bongo inapatikana pekee!!it nikila mmojawapo ajue it!maana hata anayetumia jf tayari anajua it japo siyo kwa mapana!pole wewe kopofu uliye ona siku moja ukaona neno it!!hata ujuo it ipo katika mafungu yapi!poor it man!!