Mi nilisoma shule ya msingi Ilala pale nyuma ya Mkwawa University bahati mbaya simkumbuki mwalimu hata mmoja
we ndo kilaza kweli,inaonekana ulikua mtoro sana,mwaka 1997 nakumbuka tulifanya joint exam sabasaba na ilala,mwalim mkuu ilala alikuwa wa kike aliamishwa toka sabasaba,alikuwa white fulani hivi ila jina limenitoka
Mi nilisoma shule ya msingi Ilala pale nyuma ya Mkwawa University bahati mbaya simkumbuki mwalimu hata mmoja
Hii ni ajabu kidogo!
ulikuwa mwizi wa mapera na mikusu nini asigwa?
mie nilisoma KIHESA PS ila sitaki kukumbuka background yangu aisee........ IT IS TERRIBLE.......
kati ya shule za msingi zilizokuwa zinaongoza kwa ubaya wa matokeo,majengo mabovu na mazingira machafu ni KIHESA PR,sasa mkuu assigwa anashndwa kuwa muwazi na utoro wake pia uwizi wa mapera,mitoo,misasati,mifudu na maembe machanga
Mimi nilisoma mapinduzi kwanzia mwaka 1988