Mmmhh sidhani kama ujakua peke yako tu maana wengi walifail so axces na laptonga,ma cm ya ukweli hawana(Joking)
Humu wengi wajivuni,wengi mashule makubwa makubwa Kibaha,Mzumbe,ilboru,tabora boys,mzizima,azania,kilakala,msalato,jangwani,kisutu,kbasila,zanaki lakini hizo shule zenu za kantalamba upati mtu(joking)
Ukweli Ngumu kumesa
Mmmhh sidhani kama ujakua peke yako tu maana wengi walifail so axces na laptonga,ma cm ya ukweli hawana(Joking)
Humu wengi wajivuni,wengi mashule makubwa makubwa Kibaha,Mzumbe,ilboru,tabora boys,mzizima,azania,kilakala,msalato,jangwani,kisutu,kbasila,zanaki lakini hizo shule zenu za kantalamba upati mtu(joking)
Ukweli Ngumu kumesa
KWELI!!! (not jocking)
mkuu nashukuru kwa kudandia hii hoja isiyo kuhusu, kwani ni kwa ajili ya wana tukuyu sekondari tu, ila ukubwa wa shule una upima vipi
I was Joking,Ngumu kumesa sorry,ukubwa wa shule unapimwa kwa mambo mengi,kua na members wengi ebu anzisha sredi ya ilboru au mzumbe,azania uone watavyojaa
I was Joking,Ngumu kumesa sorry,ukubwa wa shule unapimwa kwa mambo mengi,kua na members wengi ebu anzisha sredi ya ilboru au mzumbe,azania uone watavyojaa
Pole sana, shule zilianzishwa miaka ya 2000'S kupata members humu ndani ni kazi sana, labda kwa huko Rungwe anzisha thread za kutafuta members wa Rungwe, Mwakaleli, Kipoke, Lutengano, Irambo na Manor Seminary unaweza pata.