Wana JF mlosoma Moshi sec miaka ya 80, nawatangazia msiba Madesho wa Madesho hatunaye tena. Jamaa alitoka kwenye zoezi jana jioni akiwa njiani akajisikia vibaya akampigia mkewe simu. Alipelekwa kcmc na leo hii ameaga dunia.
Bwana Alitoa na Bwana ametwaa Jina lake liinuliwe. Amen